Thursday, January 16, 2014

HARUSI YA BW:MBERWA NA BI:JENIFFER TAR:01.11.2013

Bw.Mberwa akiwa na bestmani wake.
Bw.Mberwa na Bi Jeniffer wakiwa na wapambe wao pamoja na Mchungaji wakiingia Kanisani KKKT Bukoba kwa ajili ya ibada ya ndoa.
Mama wa Bw.harusi akiwa na wenzake Kanisani.

Mama wa Bwana harusi Mberwa akiwa Kanisani.
Mchungaji wa Kanisa la KKKT Bukoba akiwafungisha ndoa Bw.Mberwa na Bi:Jeniffer.
Bw: Mberwa akivarishwa pete na Bi: Jeniffer.

Bi.Jeniffer akisaini cheti cha ndoa





wakiwa ziwani Mr.Mberwa na Bi.Jeniffer










Mapambo ya ukumbi wa bukoba club

No comments:

Post a Comment