Monday, January 27, 2014
SEND-OFF PARTY BI:BEATRICE MUKATES ALIBALIO ILIYO FANYIKA LAKE HOTEL.
Bi.Beatrice M.Alibalio
Matron wake
Wazazi wa Beatrice
Bi.Beatrice na mpambe wake wakiingia ukumbiniMwenyekiti akifungua sherehe
B.Beatrice akimtamburisha mme wake
Wazazi wakishangilia baada ya kuwaonyesha mkwe wao
Bi.harusi akikata keki na mpambe wake
Bi.Harusi mtarajiwa akilishana keki na mpambe wake
Bi.Harusi mtararajiwa akiwapa wazazi wake keki
Bi.Harusi mtarajiwa akiwapa wazazi wa Bwana Harusi mtarajiwa keki
BiHarusi mtarajiwa akimpatia mume wake keki
Bi.Beatrice wakinyweshana kinywaji na mpambe wake
Mama yake bi.Beatrice akienda kumkabidhi zawadi watoto wake
Bw.harusi mtarajiwa akiwa na mpambe wake
Mr.&Mrs.Nestory Alibalio wakiwa wameketi kwenye kiti wakisubirir zawadi kutoka kwa watoto wao wapendwa wakiwapongeza kwa kuwalea vizuri.
Bwana na bi.Harusi watarajiwa wakipata chakula cha usiku
Sunday, January 26, 2014
Thursday, January 16, 2014
HARUSI YA BW:MBERWA NA BI:JENIFFER TAR:01.11.2013
Bw.Mberwa akiwa na bestmani wake.
Bw.Mberwa na Bi Jeniffer wakiwa na wapambe wao pamoja na Mchungaji wakiingia Kanisani KKKT Bukoba kwa ajili ya ibada ya ndoa.
Mama wa Bw.harusi akiwa na wenzake Kanisani.
Mama wa Bwana harusi Mberwa akiwa Kanisani.
Mchungaji wa Kanisa la KKKT Bukoba akiwafungisha ndoa Bw.Mberwa na Bi:Jeniffer.
Bw: Mberwa akivarishwa pete na Bi: Jeniffer.
Bi.Jeniffer akisaini cheti cha ndoa
wakiwa ziwani Mr.Mberwa na Bi.Jeniffer
Mapambo ya ukumbi wa bukoba club
Bw.Mberwa na Bi Jeniffer wakiwa na wapambe wao pamoja na Mchungaji wakiingia Kanisani KKKT Bukoba kwa ajili ya ibada ya ndoa.
Mama wa Bw.harusi akiwa na wenzake Kanisani.
Mama wa Bwana harusi Mberwa akiwa Kanisani.
Mchungaji wa Kanisa la KKKT Bukoba akiwafungisha ndoa Bw.Mberwa na Bi:Jeniffer.
Bw: Mberwa akivarishwa pete na Bi: Jeniffer.
Bi.Jeniffer akisaini cheti cha ndoa
wakiwa ziwani Mr.Mberwa na Bi.Jeniffer
Mapambo ya ukumbi wa bukoba club
Subscribe to:
Posts (Atom)