Monday, January 27, 2014

SEND-OFF PARTY BI:BEATRICE MUKATES ALIBALIO ILIYO FANYIKA LAKE HOTEL.


Bi.Beatrice M.Alibalio

Matron wake
Wazazi wa Beatrice

Bi.Beatrice na mpambe wake wakiingia ukumbiniMwenyekiti akifungua sherehe

B.Beatrice akimtamburisha mme wake
Wazazi wakishangilia baada ya kuwaonyesha mkwe wao
Bi.harusi akikata keki na mpambe wake
Bi.Harusi mtarajiwa akilishana keki na mpambe wake
Bi.Harusi mtararajiwa akiwapa wazazi wake keki
Bi.Harusi mtarajiwa akiwapa wazazi wa Bwana Harusi mtarajiwa keki
BiHarusi mtarajiwa akimpatia mume wake keki
Bi.Beatrice wakinyweshana kinywaji na mpambe wake




Mama yake bi.Beatrice akienda kumkabidhi zawadi watoto wake


Bw.harusi mtarajiwa akiwa na mpambe wake

Mr.&Mrs.Nestory Alibalio wakiwa wameketi kwenye kiti wakisubirir zawadi kutoka kwa watoto wao wapendwa wakiwapongeza kwa kuwalea vizuri.


Bwana na bi.Harusi watarajiwa wakipata chakula cha usiku





Sunday, January 26, 2014

HIJA MINZIRO KWA MARIA MUZEYI.

Mapadre wakiwa kwenye Hija Minziro
Askofu Deriderius Rwoma akiwa kwenye ibada akitoa mahubiri.





Thursday, January 16, 2014

HARUSI YA BW:MBERWA NA BI:JENIFFER TAR:01.11.2013

Bw.Mberwa akiwa na bestmani wake.
Bw.Mberwa na Bi Jeniffer wakiwa na wapambe wao pamoja na Mchungaji wakiingia Kanisani KKKT Bukoba kwa ajili ya ibada ya ndoa.
Mama wa Bw.harusi akiwa na wenzake Kanisani.

Mama wa Bwana harusi Mberwa akiwa Kanisani.
Mchungaji wa Kanisa la KKKT Bukoba akiwafungisha ndoa Bw.Mberwa na Bi:Jeniffer.
Bw: Mberwa akivarishwa pete na Bi: Jeniffer.

Bi.Jeniffer akisaini cheti cha ndoa





wakiwa ziwani Mr.Mberwa na Bi.Jeniffer










Mapambo ya ukumbi wa bukoba club